SDF SPORTS SDF SPORTS Author
Title: USAJILI: SIMBA YAZIDI KUIBOMOA AZAM BOCCO ASAINI RASMI
Author: SDF SPORTS
Rating 5 of 5 Des:
Klabu ya Simba imeendelea kujiimarisha kwa kufanyia kazi maungufu ya timu yao kwa msimu uliopita Simba mpaka sasa wameshasajili wacheza...
Klabu ya Simba imeendelea kujiimarisha kwa kufanyia kazi maungufu ya timu yao kwa msimu uliopita
Simba mpaka sasa wameshasajili wachezaji watano katika nafasi tatu ambazo zimeonekana kuwa na upungufu mkubwa kwa msimu uliopita
Baada ya kumalizika kwa ligi kuu Simba walianza kuyafanyia kazi mapungufu na kujiandaa na msimu mpya wa ligi wa 2017-2018 huku wakiimarisha zaidi kikosi chao kwa ajili ya michuano ya kimataifa baada ya kukosa nafasi hiyo kwa takribani miaka mine
Simba tayari imekamilisha usajili wa John Bocco, Aishi Manula, na Shomari kapombe wote wakitokaAzam fc huku ikiwa imemsajili Jamal mwamboleko kutoka Mbao fc na Mlipili kutoka Toto Africans
Wakionekana kudhamiria kufanya kweli kwenye dirisha hili la usajili kuna taarifa ambazo hazijathibitishwa endelea kuwa nasi utazipata hapa hapa

About Author

Advertisement

Post a Comment

  1. Karibu Unyamani John Bocco.

    ReplyDelete
  2. Hizo taarifa ambazo hazijathibitishwa zinasemaje?

    ReplyDelete

 
Top