SDF SPORTS SDF SPORTS Author
Title: SIMBA WAKAMILISHA USAJILI WA NDUSHA ITC YAKE YAWASILI
Author: SDF SPORTS
Rating 5 of 5 Des:
Simba sc imefanikiwa kukamilisha uhamisho wa mshambuliaji wa kimataifa wa Congo, Mussa Ndusha   Sifa zimuendee TMS Manager wetu Ndugu ...
Simba sc imefanikiwa kukamilisha uhamisho wa mshambuliaji wa kimataifa wa Congo, Mussa Ndusha 

Sifa zimuendee TMS Manager wetu Ndugu Collins Firsch na sekretarieti nzima ya Simba kwa kazi nzuri ya kufanikisha hili

Akiongea na Simba damu fans Makamu Mwenyekiti wa SImba Godfrey Nyange kaburu amethibitisha kupatikana 
kwa ITC (Hati ya Uhamisho wa Kimataifa) ya Ndusha na tayari ipo Dar

Hadi sasa, Ndusha ameichezea Simba SC mechi mbili za kirafiki ikishinda 4-0 dhidi ya AFC Leopard na katika sare ya 1-1 na URA ya Uganda, zote Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam.

About Author

Advertisement

Post a Comment

 
Top