SDF SPORTS SDF SPORTS Author
Title: BMT YAZIPIGA STOP SIMBA NA YANGA
Author: SDF SPORTS
Rating 5 of 5 Des:
Baraza la michezo Tanzania BMT   limetangaza kuzitaka klabu za Simba na Yanga kusitisha mara moja mchakato wa mfumo wa mabadiliko mpaka w...
Baraza la michezo Tanzania BMT  limetangaza kuzitaka klabu za Simba na Yanga kusitisha mara moja mchakato wa mfumo wa mabadiliko mpaka watakapokubaliana na wanachama wao.

Akitangaza taraifa hiyo mbele ya waandishi wa habari katibu mkuu wa Baraza la michezo Tanzania Mohamed Kiganja amesema Kama Serikali inapenda klabu hizo zifanye mabadiliko ya kimfumo lakini zifuate utaratibu  na kubadili katiba zao


Mpaka taratibu nyingine zifuatwe,baada ya kuona zoezi zima limekiuka utaratibu Serikali imesema wamezitaka klabu hizo ziendelee kuachwa kwa wanachama.

About Author

Advertisement

Post a Comment

 
Top