SDF SPORTS SDF SPORTS Author
Title: MARCEL KAHEZA MCHEZAJI BORA MWEZI APRIL VPL
Author: SDF SPORTS
Rating 5 of 5 Des:
Mshambuliaj wa Maji Maji   Songea Marcel Kaheza amechaguliwa kuwa Mchezaji Bora wa mwezi April wa Ligi Kuu ya Vodacom (VPL)Tanzania Bara...

Mshambuliaj wa Maji Maji  Songea Marcel Kaheza amechaguliwa kuwa Mchezaji Bora wa mwezi April wa Ligi Kuu ya Vodacom (VPL)Tanzania Bara.
Marcel anatwaa tuzo hiyo baada ya kuwashinda nyota wawili wa Simba Emmanuel Okwi na John Bocco wote wa Simba katika uchambuzi uliofanywa wiki hii na Kamati ya Tuzo hizo.
Mshambuliaji huyo alifunga mabao 7 katika mwezi April ikiwemo hatrick dhidi ya Ruvushooting
Kaheza ameiwezesha Majimaji kutoka mkiani mwa msimamo mwezi Machi hadi nafasi ya 14 sasa.

Kaheza atapewa pesa taslimu shilingi milioni moja na wadhamini wakuu wa ligi Kampuni ya Vodacom, kisimbuzi cha Azam TV  kama sehemu ya zawadi ya tuzo hiyo.

About Author

Advertisement

Post a Comment

 
Top