SDF SPORTS SDF SPORTS Author
Title: YANGA YAPEWA WABABE WA ZAMALEK SHIRIKISHO
Author: SDF SPORTS
Rating 5 of 5 Des:
Timu ya Yanga imepangwa kucheza na Wolaita Dicha ya Ethiopia katika kombe la Shirikisho Afrika kwa mujibu wa droo iliofanyika usiku huu. ...
Timu ya Yanga imepangwa kucheza na Wolaita Dicha ya Ethiopia katika kombe la Shirikisho Afrika kwa mujibu wa droo iliofanyika usiku huu.

Wolaita ambayo ilianzishwa mwaka 2009/waliitoa Zamelek ya Misri kwenye michuano ya kombe la Shirikisho kwa jumla ya mabao 4-3.

Mchezo wa kwanza uliofanyika nchini Ethiopia Wolaita iliishinda mabao 2-1 kabla ya kulazimisha sare ya mabao 2-2 Misri.

Wolaita ndio iliitoa Zimamoto ya Zanzibar kwenye hatua ya kwanza ya michuano ya Shirikisho kwa jumla ya mabao 2-1.

Mechi hizo zitachezwa Aprili 6,7 na 8 na mechi za marudiano zitakuwa Aprili 16 na 17.

Ratiba kamili ya kombe la Shirikisho Afrika

Zanaco vs Raja Casablanca

Vita club vs Cm lamacha Congo

St George vs Carra Brazzaville

El Hilal vs Akwa united

Super Sports vs Gor mahia

El bayt vs Songo Mozambique

Usmer Alger vs Cotton United

Enyimba vs Vits South

Ghana Vs Bouser Malagasy

Yanga vs Wolaita Dicha

About Author

Advertisement

Post a Comment

 
Top