Jumapili iliyopita Real walikubali kipigo cha mabao 2-1 kutoka kwa Girona katika mchezo wa ligi kuu nchini Hispania.
Matokeo hayo yanaifanya Spurs kuwa vinara wa kundi H wakiwa na pointi 10 baada ya mchezo minne na kuizidi miamba hiyo ya Hispania alama tatu.
Kiungo Dele Alli ambaye ametoka kifungoni alifunga mabao mawili na Eriksen huku Cristiano Ronaldo akifunga la kufuatia machozi la Madrid.
Liverpool nayo imeibuka na ushindi wa mabao 3-0 dhidi ya Maribor wakati Manchester City imeifunga Napoli mabao 4-2.
Shakhtar Donetsk imeibuka na ushindi wa mabao 3-1 dhidi ya Feyernood ya Uholanzi.
Matokeo kamili ya michezo ya ligi ya mabingwa iliyochezwa leo
Borussia Dortmund 1-1 APOEL
Tottenham Hotspur 3-1 Real Madrid
Sevilla 2-1 Spartak Moscow
SSC Napoli 2-4 Manchester City
Shakhtar Donetsk 3-1 Feyenoord
Besiktas 1-1 Monaco
FC Porto 3-1 RasenBallsport Leipzig
WALICHOKIFANYA SPURS KWA MADRID SI KITU CHA KUKIACHA KIPITE HIVIHIVI.
ReplyDeleteSPURS WANASTAHILI ZAIDI YA PONGEZI MAANA KWA HIVI KARIBUNI SIDHANI KAMA KUNA TIMU YA UINGEREZA ILIYOWEZA KUIFUNGA MADRID.
Liverpool ndio ilikuwa timu ya mwisho kuifunga Madrid kwenye michuano ya ulaya,bao 4 za Torres,Gerard na dosena 2
Delete