Timu ya Chelsea imeibuka na ushindi wa bao moja dhidi ya AFC Bournemouth na kuzifanya klabu zote kubwa nchini Uingereza kupata matokeo ya ushindi wikiendi hii.
Katika mchezo huo uliofanyika kwenye uwanja wa Vitality bao hilo pekee la Chelsea lilifungwa na nyota Eden Hazard dakika ya 51.
Mchezo wa mapema Manchester United iliibuka na ushindi wa bao moja dhidi ya Tottenham Hotspur katika mchezo uliofanyika kwenye uwanja wa Old Trafford huku bao hilo likifungwa na Anthony Martial.
Arsenal nao waliibuka na ushindi wa mabao 2-1 dhidi ya Swansea City wakati Man City ikiichapa West Bromwich Albion mabao 3-2.
Liverpool ambayo wiki iliyopita ilikubali kichapo kikubwa kutoka kwa Spurs leo imeibugiza Huddersfield Town mabao 3-0 katika uwanja Anfield.
Matokeo kamili ya mechi za EPL leo
Man United 1-0 Tottenham Hotspur
Arsenal 2-1 Swansea City
Crystal Palace 2-2 West Ham United
Liverpool 3-0 Huddersfield Town
Watford 0-1 Stoke City
West Bromwich 2-3 Man City
AFC Bournemouth 01 Chelsea
CHELSEA YAKAMILISHA USHINDI WA VIGOGO UINGEREZA
Title: CHELSEA YAKAMILISHA USHINDI WA VIGOGO UINGEREZA
Author: SDF SPORTS
Rating 5 of 5 Des:
Author: SDF SPORTS
Rating 5 of 5 Des:
Timu ya Chelsea imeibuka na ushindi wa bao moja dhidi ya AFC Bournemouth na kuzifanya klabu zote kubwa nchini Uingereza kupata matokeo ya ...
Post a Comment