SDF SPORTS SDF SPORTS Author
Title: SIMBA KUENDELEZA REKODI KWA MBAO KESHO..?
Author: SDF SPORTS
Rating 5 of 5 Des:
Wekundu wa Msimbazi Simba Sports Club watakuwa dimbani kesho dhidi ya Mbao fc katika uwanja wa Ccm Kirumba Jijini Mwanza Simba itamk...
Wekundu wa Msimbazi Simba Sports Club watakuwa dimbani kesho dhidi ya Mbao fc katika uwanja wa Ccm Kirumba Jijini Mwanza

Simba itamkosa Shomari Kapombe na kipa wake Said Mohammed huku timu nzima ikiwa fiti kwa mchezo wa kesho utakaoanza saa 10 jioni

Mchezo huo utakuwa wane katika ligi na Simba wamejipanga kufanya vyema msimu hu, akiongea na www.sdfsports.blogspot.com nahodha wa Simba Method Mwanjali amesema wamejianda vyema kuhakikisha wanabeba point 6 kanda ya ziwa mana wamepania kufanya kweli msimu huu.


About Author

Advertisement

Post a Comment

 
Top