SDF SPORTS SDF SPORTS Author
Title: ROONEY APEWA ADHABU NA KLABU YAKE
Author: SDF SPORTS
Rating 5 of 5 Des:
Timu ya soka ya Everton ya nchini Uingereza imempa adhabu aliekuwa nahodha wa timu ya taifa ya Uingereza ya kumkata mshahara wa wiki mbili ...
Timu ya soka ya Everton ya nchini Uingereza imempa adhabu aliekuwa nahodha wa timu ya taifa ya Uingereza ya kumkata mshahara wa wiki mbili mshambuliaji wake Wayne Rooney kufuatia kukutwa na kosa la kuendesha gari akiwa amelewa.
Fedha hizo zitapelekwa kwenye kituo cha watu wenye uhitaji, Klabu ya Everton ina mradi wa kusaidia watu wasiojiweza
Wayne Rooney aliomba msamaha ili kuepuka adhabu, baada ya kuhukumiwa kutokuendesha gari kwa mda wa miaka miwili baada ya kukamatwa akiwa anaendesha gari huku akiwa amelewa


About Author

Advertisement

Post a Comment

 
Top