SDF SPORTS SDF SPORTS Author
Title: OKWI NDIE MCHEZAJI BORA MWEZI AGOSTI
Author: SDF SPORTS
Rating 5 of 5 Des:
Mshambuliaji wa Simba Emmanuel Okwi amechaguliwa kuwa mchezaji bora wa Ligi Kuu ya Vodacom kwa msimu wa 2017/2018 Kwa mwezi Agosti Ka...
Mshambuliaji wa Simba Emmanuel Okwi amechaguliwa kuwa mchezaji bora wa Ligi Kuu ya Vodacom kwa msimu wa 2017/2018 Kwa mwezi Agosti

Katika Mwezi Agosti kulikuwa na mchezo mmoja na Okwi peke yake alifunga magoli manne dhidi ya Ruvu Shooting na kuiwezesha timu yake ya Simba kupata pointi tatu

Kwa kushinda tuzo hiyo ya mchezaji bora, Okwi atazawadiwa kitita cha sh. 1,000,000 (milioni moja) na wadhamini wakuu wa Ligi hiyo Kampuni ya simu za mkononi ya Vodacom Tanzania.

About Author

Advertisement

Post a Comment

 
Top