SDF SPORTS SDF SPORTS Author
Title: HII HAPA KAMATI MAALUM YA ZABUNI SIMBA
Author: SDF SPORTS
Rating 5 of 5 Des:
Msemaji wa Simba Hajji Manara leo ametangaza kamati maalum ya itakayosmamia mchakato wa zabuni katika klabu hiyo ya Simba Katika uteu...
Msemaji wa Simba Hajji Manara leo ametangaza kamati maalum ya itakayosmamia mchakato wa zabuni katika klabu hiyo ya Simba

Katika uteuzi huo Mhe. Jaji Mstaafu wa Mahakama kuu Thomasi Mihayo ameteuliwa kuwa Mwenyekiti wa Kamati hiyo akiwa na wajumbe wane ambao ni Abdulrazzaq Badru ambaye ni Mkurugenzi Bodi ya Mikopo ya Elimu ya Juu Nchini, Wakili maarufu na mwandamizi Dr. Damas Ndumbaro mwingine ni Mhe: Mussa Azan Zunu mbunge wa jimbo la Ilala na Mtaalamu aliyebobea katika masuala ya manunuzi Ndugu Yusuph Maggid Nassoro


Kamati itakuwa huru itafanya kazi zake kwa kuzingatia taratibu zote za kimanunuzi kwa mujibu wa sheria na taratibu za nchi

About Author

Advertisement

Post a Comment

 
Top