Timu ya Taifa ya Tanzania Taifa Stars imeibuka na ushindi wa bao 2-0 dhidi ya Botswana katika mchezo wa kirafiki uliopigwa leo jioni
Mpaka mapumziko Taifa Stars walikuwa mbele kwa bao 1-0 goli lilofungwa na Simon Msuva
Kipindi cha Pili kilianza kwa kasi huku team zote zikisaka magoli
Simon Msuva aliiandikia Taifa Stats goli la pili katika dakika ya 65 baada ya kazi nzuri ya Shiza Kichuya
Stars walifanya mabadiliko kwa kuwatoa Simon Msuva, Mbwana Samata, nafasi zao zikachukuliwa na Farid Mussa na Elias Maguri
STARS YAFANYA KWELI MSUVA AWAKALISHA BOTSWANA
Title: STARS YAFANYA KWELI MSUVA AWAKALISHA BOTSWANA
Author: SDF SPORTS
Rating 5 of 5 Des:
Author: SDF SPORTS
Rating 5 of 5 Des:
Timu ya Taifa ya Tanzania Taifa Stars imeibuka na ushindi wa bao 2-0 dhidi ya Botswana katika mchezo wa kirafiki uliopigwa leo jioni Mpa...
Post a Comment