![]() |
Salum Mkemi kulia |
Mkemi amesema kuwa Yanga wana maslahi makubwa katika sakata hilo kwa kuwa wanapigania ubingwa hivyo hawataweza kukaa kimya.
Mkemi amesema kamati ya utendaji ya Yanga imekaa jana na imeafikiana kwamba hawatakubali Simba wapewe pointi za mezani kwa kuwa rufaa yao ina mapungufu.
"Tuko tayari kuwabeba Kagera mgongoni kwa garama yoyote mpaka haki yao ipatikane kwa sababu hizo pointi zina maslahi yetu kwa kuwa tunahitaji kutetea ubingwa wetu."
Mkemi alisema Fakhi alionyeshwa kadi kwenye michezo miwili ya ligi na mmoja wa FA kwahiyo kanuni hazikuvunjwa.
Kwa hali hii inabidi tushinde mechi zote zilizobaki ...... kila la heri mnyama
ReplyDelete