![]() |
Ronaldo na mpira wake baada ya kupiga hat-trick jana |
Ronaldo ambaye msimu huu alionekana kupotea kwenye ufungaji kwenye mechi za ligi ya mabingwa, amefunga magoli matano katika mechi mbili za robo fainali dhidi ya Bavarians, na sasa amebakiza magoli manne ili kumfikia hasimu wake Lionel Messi mwenye magoli 11.
Ifuatayo ni orodha ya wafungaji magoli Uefa msimu huu
1.Lionel Andress Messi....11
2.Edinson Roberto Cavani....8
3.Roberto Lewandowski.....8
4.Christiano Ronaldo.........7
5. Piere Emeric Aubemayang...7
6. Antonie Griezman....5
7. Dries Martens.......5
8. Karim benzema....5
9. Sergio kun Aguero...5
10. Andre Miguel Silva...4.
Huyu akilala amelala,akiamsha kaamsha
ReplyDeleteThis comment has been removed by the author.
ReplyDeleteAndunje leo anatolewa shughuli inabaki kwa Cr7.
ReplyDelete