SDF SPORTS SDF SPORTS Author
Title: MWAKYEMBE NDANI NAPE NJE MICHEZO
Author: SDF SPORTS
Rating 5 of 5 Des:
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. John Pombe Magufuli amefanya mabadiliko madogo kwenye Baraza  lake la Mawaziri. Dr Harris...
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. John Pombe Magufuli amefanya mabadiliko madogo kwenye Baraza  lake la Mawaziri.

Dr Harrison Mwakyembe ameteuliwa kuchukua nafasi ya Mh Nape Nnauye kwenye Wizara ya Habari utamaduni Sanaa Na Michezo 

Karibu Dkt Harrison Mwakyembe Kwenye Tasnia ya Michezo

Nimekuwekea  hapa Taarifa ya ikulu

About Author

Advertisement

Post a Comment

 
Top