SDF SPORTS SDF SPORTS Author
Title: VIINGILIO MECHI YA FAINALI KOMBE LA FA
Author: SDF SPORTS
Rating 5 of 5 Des:
Fainali ya Kombe la Shirikisho maarufu kama Azam Sports Federation Cup (ASFC) inatarajiwa kufanyika   Mei 27, 2017 kwa kuzikutanisha timu...

Fainali ya Kombe la Shirikisho maarufu kama Azam Sports Federation Cup (ASFC) inatarajiwa kufanyika  Mei 27, 2017 kwa kuzikutanisha timu za Simba Sports Club na Mbao  FC; katika mchezo utakaofanyika kwenye Uwanja wa Jamhuri Jijini Dodoma.

Mwenyekiti wa Mkoa wa Dodoma ametaja Viingilio katika mchezo huo ambao utahudhuriwa na watu wengi kutoka sehem mbali mbali

Viingilio katika mchezo huo itakuwa ni Sh 20,000 kwa VIP A wakati VIP B ni Sh 15,000, mzunguko itakuwa Sh 5,000.

About Author

Advertisement

Post a Comment

 
Top