SDF SPORTS SDF SPORTS Author
Title: UCL: VIBIBI VIZEE VYA TURIN VYA TINGA CARDIFF KIBABE
Author: SDF SPORTS
Rating 5 of 5 Des:
Vibibi vizee vya Turin Juventus kwa mara ya pili imefuzu katika fainali ya kombe la klabu bingwa Ulaya baada ya kuifunga Monaco ya Ufaransa...
Vibibi vizee vya Turin Juventus kwa mara ya pili imefuzu katika fainali ya kombe la klabu bingwa Ulaya baada ya kuifunga Monaco ya Ufaransa kwa bao 2-1
Mechi ya kwanza Juventus waliwafunga Monaco goli 2-0 (aggregate 4-1)
Mario Mandzukic na Dani Alves waliwafungia juventus mabao ya jana usiku huku la Monaco likifungwa na Kylie Mbappe alifunga krosi iliopigwa katika kimo cha nyoka ya Joao Moutinho ili kufunga bao la kufutia machozi
Juventus hawajashinda kombe hilo tangu 1996 na walipoteza katika fainali ya mwaka 2015 dhidi ya Barcelona watakabiliana na Real Madrid au Atletico Madrid katika uwanja wa Cardiff  tarehe 3 mwezi Juni.





About Author

Advertisement

Post a Comment

 
Top