SDF SPORTS SDF SPORTS Author
Title: RAIS WA SOKA AFRIKA AKATAA KULIPWA MSHAHARA
Author: SDF SPORTS
Rating 5 of 5 Des:
Rais wa shirikisho la soka barani Afrika Caf, Ahmed anasema kuwa amekataa kuchukua mshahara kutoka kwa shirikisho hilo. Rais huyo wa Caf ...
Rais wa shirikisho la soka barani Afrika Caf, Ahmed anasema kuwa amekataa kuchukua mshahara kutoka kwa shirikisho hilo.
Rais huyo wa Caf ambae aliingia madarakani mwezi Machi baada ya kuchumuangusha mgombea mwenza MCameroon Issa Hayatou.
Ahmed amesema Nimekataa kuchukua mshahara kwa sababu sio heshima kwa usimamizi mzuri
Raia huyo wa Madagascar mwenye umri wa miaka 57 alisimamia mkutano wake mkuu katika shirikisho hilo siku ya Jumatatu

Ahmed amesema mabadiliko kuhusu usimamizi ni swala muhimu sana, kila mtu anapaswa kujua kinachotendeka.

About Author

Advertisement

Post a Comment

 
Top