Mwenyekiti wa Kamati ya Usajili wa klabu ya Simba Zacharia Hanspope ametoa ufafanuzi kuhusu taarifa zilizozagaa katika mitandao ya kijamii kuhusu kujizulu nafasi hiyo ndani ya Wekundu hao.
Leo kumekuwa na taarifa mbalimbali kutoka katika mitandao ya kijamii zinazo muhusu kiongozi huyo mwenye ushawishi mkubwa ndani ya Simba kuwa amejiuzulu.
Akizungumza na mtandao huu Hanspope amesema amejiuzulu Ujumbe wa kuteuliwa katika Kamati ya Utendaji ambapo tayari ameshaandika barua kwa Rais Avans Aveva.
Hanspope amesema sababu zilizopelekea kujiuzulu kwake ameziandika katika barua yake na anayetaka kujua amtatufe Rais Aveva.
HANSPOPE ATOA UFAFANUZI KUHUSU KUJIUZULU KWAKE
Title: HANSPOPE ATOA UFAFANUZI KUHUSU KUJIUZULU KWAKE
Author: SDF SPORTS
Rating 5 of 5 Des:
Author: SDF SPORTS
Rating 5 of 5 Des:
Mwenyekiti wa Kamati ya Usajili wa klabu ya Simba Zacharia Hanspope ametoa ufafanuzi kuhusu taarifa zilizozagaa katika mitandao ya kijamii...
Kama kuna kipindi tunahitaji umoja katika timu basi ni sasa
ReplyDelete