SDF SPORTS SDF SPORTS Author
Title: FIFA YAIONGEZEA NAFASI AFRIKA KOMBE LA DUNIA
Author: SDF SPORTS
Rating 5 of 5 Des:
Shirikisho la soka duniani Fifa limepitisha adhimio lake la kulipatia bara la Afrika nafasi 9 kwenye kinyanganyiro cha   kombe la dunia l...

Shirikisho la soka duniani Fifa limepitisha adhimio lake la kulipatia bara la Afrika nafasi 9 kwenye kinyanganyiro cha  kombe la dunia litakapoongeza timu zitakazoshiriki katika michunao hiyo itakayofanyika mwaka 2026 na kupelekea kufikisha timu 48
Bara la Afrika lina nafasi tano tu kwa sasa, hatua ya kuziongezea timu na kufikia tisa imepitishwa jana kwenye kikao cha FIFA kilichofanyika Bahrain
Wanachama wote wa Fifa walipiga kura ya ndiyo  kuongeza timu kutoka 32 hadi 48

About Author

Advertisement

Post a Comment

 
Top