SDF SPORTS SDF SPORTS Author
Title: KICHUYA MCHEZAJI BORA MWEZI WA TISA SIMBA
Author: SDF SPORTS
Rating 5 of 5 Des:
Shiza Ramadhani Kichuya Amechaguliwa kuwa mchezaji bora wa Mwezi Septemba katika timu ya Simba Simba imekuwa ikitoa tuzo hizi ili kuo...
Shiza Ramadhani Kichuya Amechaguliwa kuwa mchezaji bora wa Mwezi Septemba katika timu ya Simba

Simba imekuwa ikitoa tuzo hizi ili kuongeza morali kwa wachezaji wake Kichuya amenyakua tuzo ya Mwezi wa tisa pamoja na kitita cha shillingi laki 500,000 ambayo amekabidhiwa katika uwanja wa Uhuru na makamu wa Simba Godfrey Nyange Kaburu kabla ya game na Toto Africa

About Author

Advertisement

Post a Comment

 
Top