United ndio vinara wa kundi A wakiwa na pointi 12 baada ya kushinda mechi zote nne ikiwemo ya leo ya marudio waliobuka na ushindi wa mabao 2-0 dhidi ya Benifica ya Ureno mchezo uliofanyika kwenye uwanja wa Old Trafford.
Katika mchezo huo mabao ya United yalifungwa na mlinda mlango Mile Svilar aliyejifunga na mlinzi Daley Blind kwa mkwaju wa penati.
PSG nao wana pointi 12 kama United wakiongoza kundi B kufuatia ushindi wa mabao 5-0 walioifunga timu ya Anderlecht ya Ubelgiji mchezo uliofanyika kwenye uwanja wa Parc des Princes.
Matokeo kamili ya michezo iliyopigwa
Basel 1-2 CSKA Moscow
Man United 2-0 Benfica
Celtic 1-2 Bayern Munich
PSG 5-0 Anderletch
Atletico Madrid 1-1 Qarabag FK
Roma 3-0 Chelsea
Olympiacos 0-0 Barcelona
Sporting CP 1-1 Juventus
Mara Paaap Manchester vs Madrid/Barcela hatua inayofuata maana naona hawa wahispania wanajilegeza makusudi kumsaka chamdomo wamzibue teeeeh
ReplyDelete