SDF SPORTS SDF SPORTS Author
Title: SIMBA WAICHAPA DODOMA FC
Author: SDF SPORTS
Rating 5 of 5 Des:
Timu ya soka ya Simba imeibuka na ushindi wa bao 1-0 dhidi ya  Dodoma FC katika mchezo wa kirafiki uliofanyika kwenye uwanja wa Jamhuri m...
Timu ya soka ya Simba imeibuka na ushindi wa bao 1-0 dhidi ya  Dodoma FC katika mchezo wa kirafiki uliofanyika kwenye uwanja wa Jamhuri mkoani Dodoma.

Goli la Simba lilifungwa na kiungo Said Ndemla kwa shuti kali kabisa katika dakika ya 70

 
Dodoma Fc inashiriki ligi daraja la kwanza inashika nafasi ya pili ikiwa na pointi sita

Kocha wa Simba Joseph Omog aliwatumia wachezaji ambao hawapati nafasi kwenye kikosi cha kwanza 

About Author

Advertisement

Post a Comment

 
Top