Mabingwa
wa Klabu Bingwa Real Madrid wameanza vyema kampeni ya kutetea kombe la klabu
bingwa barani ulaya kwa ushindi wa bao 3-0 dhidi ya Apoel
Tottenham
ikiwa nyumbani iliifunga Borussia Dortmund katika uwanja wake anaotumia sasa wembley
na kujipa matumaini ya kufuzu hatua ya 16 katika kundi hilo gumu
Liverpool 2-2 Sevilla
Real
Madrid 3-0 Apoel
Feyenoord 0-4 Manchester City
RasenBallsport Leipzig
1-1 Monaco
Shakhtar Donetsk 2-1 SSC
Napoli
Maribor 1-1 Spartak
Moscow
FC Porto 1-3 Besiktas
Tottenham Hotspur 3-1 Borussia
Dortmund


Post a Comment