SDF SPORTS SDF SPORTS Author
Title: NEEMA YAZIDI KUMUANGUKIA OKWI ASHINDA TUZO NYNGINE
Author: SDF SPORTS
Rating 5 of 5 Des:
Mshambuliaji wa Simba Emmanuel Okwi amejishindia tuzo ya klabu yake ya Simba inayotolewa kila mwezi na kalbu hiyo ili kuwapa motisha wach...
Mshambuliaji wa Simba Emmanuel Okwi amejishindia tuzo ya klabu yake ya Simba inayotolewa kila mwezi na kalbu hiyo ili kuwapa motisha wachezaji wake kujituma zaidi.

Msimu huu wa 2017-2018 tuzo hiyo ni ya kwanza kutolewa na klabu hiyo na mchezaji huyo anakuwa wa kwanza kujinyakulia tuzo hiyo pamoja na shilingi 500,000 taslimu

Okwi amekuwa mchezaji bora wa mwezi Agosti na Septemba wa klabu ya Simba


Okwi ambae amecheza mechi mbili na kufunga goli 6 amejinyakulia tuzo mbili ndani miezi miwili Agosti na Septemmba baada ya kushinda tuzo ya Ligi Kuu Vodacom ya kila mwezi kwa mwezi Agosti inayotolewa na wadhamini hao  

About Author

Advertisement

Post a Comment

 
Top