SDF SPORTS SDF SPORTS Author
Title: MICHUANO YA KLABU BINGWA ULAYA KUANZA LEO
Author: SDF SPORTS
Rating 5 of 5 Des:
Michuano ya klabu bingwa barani ulaya kwa msimu wa 2017/2018 inaanza leo rasmi kwa michezo nane kupigwa katika viwanja mbalimbali ulaya. ...
Michuano ya klabu bingwa barani ulaya kwa msimu wa 2017/2018 inaanza leo rasmi kwa michezo nane kupigwa katika viwanja mbalimbali ulaya.
Mabingwa wa kombe la washindi Manchester United ambao hawakuwemo mwaka jana wanaanza kampeni hizo wakiwa nyumbani katika dimba la Old Trafford kuwaalika Fc Basel, huku Benfica wakiwa wenyeji wa Cska Moscow katika kundi A.


Bayern Munich Vs Anderlecht
Celtic Vs Paris Saint Germain.
Chelsea Vs Qarabag FK
As Roma Vs Atletico Madrid
Fc Barcelona Vs Juventus

Olympiacos Vs Sporting CP.

About Author

Advertisement

Post a Comment

 
Top