Shirikisho
la soka barani Afrika Caf chini ya rais Ahmad imeipokonya Kenya uandaajji wa
mashindano ya CHAN kwa mwaka 2018
Katika
mkutano wa kamati kuu Caf uliofanyika Nchini Ghana ulifikia uamuzi huo baada ya
Kenya kuchelewa kupeleka ripoti kuu ya ukaguzi iliofanyika nchini Kenya

Post a Comment