SDF SPORTS SDF SPORTS Author
Title: SIMBA KUJIPIMA NGUVU SIKU YA EID
Author: SDF SPORTS
Rating 5 of 5 Des:
Timu ya Simba inatarajia kucheza mechi ya kirafiki ya dhidi ya wanajeshi wa Pemba Hard rock Sports Club iliyo chini ya Kocha Muhibu Kanu ...
Timu ya Simba inatarajia kucheza mechi ya kirafiki ya dhidi ya wanajeshi wa Pemba Hard rock Sports Club iliyo chini ya Kocha Muhibu Kanu  itakayopigwa siku ya Eid Ijumaa saa 10 jioni kwenye uwanja wa Uhuru Dar es salaam


Mechi hiyo ni kipimo kizuri kwa kocha Omog kuwaangalia wachezaji wake wengine ambao hajawatumia 

About Author

Advertisement

Post a Comment

 
Top