SDF SPORTS SDF SPORTS Author
Title: CRISTIANO RONALDO AIZAMISHA ATLETICO BERNABEU
Author: SDF SPORTS
Rating 5 of 5 Des:
Real Madrid usiku wa kuamkia leo imeichapa Atletico Madrid mabao 3-0 katika mchezo wa nusu fainali ya kwanza uliopigwa hapo jana juma...


Real Madrid usiku wa kuamkia leo imeichapa Atletico Madrid mabao 3-0 katika mchezo wa nusu fainali ya kwanza uliopigwa hapo jana jumanne katika dimba la Estadio Santiago Bernabeu jijini Madrid.
Cristiano Ronaldo ndio alikuwa mwiba kwa Atletico baada ya kufunga mabao matatu alipachika mabao hayo katika dakika ya 10 kipindi cha kwanza na kuandika bao la pili dakika ya 73 kipindi cha pili ,huku akihitimisha karamu ya mabao matatu dakika ya 86 kipindi cha pili.

Nusu fainali ya pili itapigwa leo jumatano usiku kati ya Fc Monaco dhidi ya Juventus huko Stade Louis jijini Monaco.


About Author

Advertisement

Post a Comment

 
Top