SDF SPORTS SDF SPORTS Author
Title: SPURS NA CHELSEA ZATAWALA KIKOSI BORA CHA MSIMU EPL
Author: SDF SPORTS
Rating 5 of 5 Des:
Wakati ligi kuu ya soka ya uingereza ikikimbilia ukingoni huku vita kubwa ya ubingwa ikionekana imeegemea kwa timu mbili za London ,Ch...


Wakati ligi kuu ya soka ya uingereza ikikimbilia ukingoni huku vita kubwa ya ubingwa ikionekana imeegemea kwa timu mbili za London ,Chelsea na Tottenham Hostspurs,wenzao wakubwa wenzao wa London inaonekana ni mwaka wa shetani kwao baada ya kushindwa.kutoa hata mchezaji mmoja kwenye timu ya mwaka ya wachezaji wa kulipwa iliyotolewa na chama cha soka cha uingereza FA.

Kama ilivyo katika mbio za ubingwa ,timu mbili za Chelsea na spurs ndizo zinaongoza kwa kutoa wachezaji wengi huku timu zingine kama Liverpool.na Manchester united zikitoa mchezaji mmoja mmoja.
Timu bora ya mwaka kwa mujibu wa FA ni kama.ifuatavyo:-

Golikipa
David de Gea(Man u)

 Mabeki
 Kayle walker...Spurs...
 Danny Rose...Spurs
 David Luis....Chelsea
Gary Cahil...Chelsea

Viungo
Delle Ali.....Spurs
Ngolo kante...Chelsea
Eden hazard...Chelsea
Sadio Mane...Liverpool.

Washambuliaji
Romelu lukaku....Everton
Harry Kane......Spurs



About Author

Advertisement

Post a Comment

 
Top