SDF SPORTS SDF SPORTS Author
Title: LIGI KUU TANZANIA BARA: SIMBA NA MTIBWA LEO UHURU
Author: SDF SPORTS
Rating 5 of 5 Des:
Ligi Kuu ya Vodacom Tanzania Bara inaendelea tena leo kwa mchezo mmoja katika dimba la uwanja wa uhuru. Mnyama Simba Sports clu...


Ligi Kuu ya Vodacom Tanzania Bara inaendelea tena leo kwa mchezo mmoja katika dimba la uwanja wa uhuru.

Mnyama Simba Sports club atawakaribisha wakata miwa wa mji kasoro bahari Mtibwa Sugar ya morogoro  katika mchezo wa raundi ya nne ya lIgi kuu vodacom Tanzania bara.

Akizungumza na Simba damu fans kocha msaidizi wa Simba  Jackson Mayanja amesema wamejiandaa vizuri  kuhakikisha wanapata point tatu muhimu.

About Author

Advertisement

Post a Comment

 
Top