Magoli ya Simba yamefungwa na Mwinyi
kazimoto na Hamis Kiiza ameweza kuifungia timu yake hiyo Magoli mawili katika
kipindi cha pili
Mpaka sasa simba imerudi kileleni
baada ya kufikisha Pointi 51 katika michezo 22 iliyocheza
Mechi ijayo Simba itacheza na
Tanzania Prisons katika uwanja wa taifa.
Post a Comment