Dhaira ambae ni golikipa wa zamani wa timu ya taifa ya Uganda na anayechezea klabu ya IBV Vestmannaeyiar ya Iceland alipata kuichezea klabu yetu ya Simba kwa mafanikio makubwa miaka michache iliopita.
Klabu imepokea taarifa za ugonjwa huo kwa taharuki kubwa na inaungana
na Dhaira na familia yake kwenye kipindi hiki kigumu cha maradhi hayo
makubwa
Tunaamini licha ya matibabu atakayoyapata kipa huyo pia nguvu ya Mwenyezi Mungu inahitajika katika kumponyesha nyota wetu mahiri Abel Dhaira.
Mungu ampe Afya njema Abel na Kumrudishia uzima wake.
Tunaamini licha ya matibabu atakayoyapata kipa huyo pia nguvu ya Mwenyezi Mungu inahitajika katika kumponyesha nyota wetu mahiri Abel Dhaira.
Mungu ampe Afya njema Abel na Kumrudishia uzima wake.
Post a Comment