SDF SPORTS SDF SPORTS Author
Title: SIMBA YAENDELEZA UBABE LIGI KUU
Author: SDF SPORTS
Rating 5 of 5 Des:
Timu ya soka ya Simba Sc imeendeleza wimbi la ushindi   baada ya kuifunga timu ya Tanzania prisons kwa goli 1-0 katika mechi ya ligi ku...


Timu ya soka ya Simba Sc imeendeleza wimbi la ushindi  baada ya kuifunga timu ya Tanzania prisons kwa goli 1-0 katika mechi ya ligi kuu iliyofanyika leo katika uwanja wa taifa.

Goli pekee katika mechi hiyo lilifungwa na Awadh juma alieingia baada ya Justice Majabvi. Simba iliweza pia kufanya mabadiliko kwa kumtoa Mussa Mgosi na kuingia Danny Lyanga na Hamis kiiza alitoka nafasi yake ikachukuliwa na Raphael kiongera

Simba mpaka sasa naongoza Ligi kuu ikiwa na pointi 54

About Author

Advertisement

Post a Comment

 
Top