Macho na masikio ya wengi yatakuwa katika Uwanja wa
Taifa, Dar es Salaam kwa mpambano baina ya Azam na Yanga utakaoanza saa kumi jioni.
Tumekuekea ratiba ya mechi nyingine za kesho
Jkt Ruvu Vs Mwadui Fc
African sports Vs Majimaji Fc
Tanzania Prisons Vs Stand United
Toto
Africans Vs Ndanda fc
Kagera Sugar Vs Mgambo Shooting v
Mtibwa Sugar Vs Coastal union
Post a Comment