SDF SPORTS SDF SPORTS Author
Title: LIGI KUU TANZANIA BARA: KESHO NDIO KESHO SIMBA NA YANGA TAIFA MBEYA CITY NA AZAM MBEYA
Author: SDF SPORTS
Rating 5 of 5 Des:
Ligi Kuu ya Vodacom Tanzania bara inatarajiwa kuendelea kesho kwa michezo sita kuchezwa katika viwanja tofauti,. Macho na masi...


Ligi Kuu ya Vodacom Tanzania bara inatarajiwa kuendelea kesho kwa michezo sita kuchezwa katika viwanja tofauti,.

Macho na masikio ya wengi yatakuwa katika Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam kwa mpambano wa watani wa jadi baina ya Yanga na Simba


Tumekuekea ratiba ya mechi nyingine za kesho
 
Mbeya City v Azam
Stand United v JKT Ruvu
Toto Africans v Kagera Sugar
 Mgambo Shooting v Tanzania Prisons
Majimaji FC v Mtibwa Sugar

About Author

Advertisement

Post a Comment

 
Top