SDF SPORTS SDF SPORTS Author
Title: KERR AITABIRIA SIMBA USHINDI DHIDI YA WATANI ZAO
Author: SDF SPORTS
Rating 5 of 5 Des:
Aliyekuwa kocha mkuu wa Simba sc Dylan kerr ameitabiria ushindi timu yake ya zamani ya Simba sc dhidi ya Yanga katika mchezo wa Ligi ku...


Aliyekuwa kocha mkuu wa Simba sc Dylan kerr ameitabiria ushindi timu yake ya zamani ya Simba sc dhidi ya Yanga katika mchezo wa Ligi kuu ya Vodacom utakafanyika kesho katika uwanja wa taifa 

Akizungumza na Simba damu fans blog, kocha kerr alisema ni lazima simba ishinde mechi hiyo kwakuwa Simba wapo wanaongoza ligi. Kerr alisema pia ni lazima Simba ashinde ili aweze kuwaacha mahasimu wa Yanga kwa pointi 6."Katika mchezo wetu wa kwanza tulipocheza na Yanga ambapo nilipoteza mechi ile,Tuliweza kuwashangaza sana Yanga, mechi ile tulitawala mchezo wote. Vijana wangu waliweza kucheza mchezo mzuri sana na waliweza kupiga pasi vizuri mno." Alisema Kerr. Kerr alisema pia naitakia Simba kila la kheri katika pambano lao la kesho.       
       
Mwisho Kerr alisema Nawamiss sana mashabiki wa Simba,kila siku walifanya mimi niweze kuwa na furaha nyingi sana na ilikuwa fahari kwangu kutembea mitaani na kuwaona mashabiki wa Simba wakiwa na furaha sana"

About Author

Advertisement

Post a Comment

 
Top