SDF SPORTS SDF SPORTS Author
Title: KOMBE LA SHIRIKISHO: MBEYA CITY VS PRISONS HATUMWI MTOTO DUKANI
Author: SDF SPORTS
Rating 5 of 5 Des:
Michuano ya Kombe la Shirikisho (Azam Sports Federation Cup) inatarajiwa kuendelea leo hii kwa mzunguko wa nne katika hatua ya 16 bora, kw...
Michuano ya Kombe la Shirikisho (Azam Sports Federation Cup) inatarajiwa kuendelea leo hii kwa mzunguko wa nne katika hatua ya 16 bora, kwa michezo miwili kuchezwa leo.
Mwadui FC watawakaribisha maafande wa Rhino Rangers katika uwanja wa Mwadui Complex mjini Shinyanga, wakati jijini Mbeya Mahasimu wawili wanakutana Tanzania Prisons dhidi ya Mbeya City katika uwanja wa Sokoine jijini humo.

Mzunguko wa nne utaendelea tena kesho.

About Author

Advertisement

Post a Comment

 
Top