SDF SPORTS SDF SPORTS Author
Title: GIANNI INFANTINO RAIS MPYA FIFA
Author: SDF SPORTS
Rating 5 of 5 Des:
Gianni Infantino amefanikiwa kushindi kiti cha Urais cha Fifa baada ya kushinda kwa  kura 115 katika raundi ya pili ikiwa ni kura 27 zaidi...
Gianni Infantino amefanikiwa kushindi kiti cha Urais cha Fifa baada ya kushinda kwa  kura 115 katika raundi ya pili ikiwa ni kura 27 zaidi ya mpinzani wake wa karibu Sheikh Salman  Ebrahim 
Katibu mkuu huyo wa Fifa alipata kuraamechukua nafasi ya Rais wake wa zamani Sepp Blatter baada ya kukutwa na kashfa

Baada ya kuchaguliwa kuwa Rais aliwaambia wajumbe kwamba ''kwa pamoja wataweza kuirudisha sura ya Fifa na heshima ya Fifa''.

About Author

Advertisement

Post a Comment

 
Top