Kalaghe Secondary School Kalaghe Secondary School Author
Title: KALLY ONGALA AENDA KUINUSURU MAJIMAJI ASAINI KANDARASI YA MIEZI SITA
Author: Kalaghe Secondary School
Rating 5 of 5 Des:
Mwenyekiti wa timu ya soka ya Maji Maji fc, Humphrey Milanzi amethibisha ujio wa kocha mpya wa timu hiyo kuwa Kalimangonga ongala. Milan...
Mwenyekiti wa timu ya soka ya Maji Maji fc, Humphrey Milanzi amethibisha ujio wa kocha mpya wa timu hiyo kuwa Kalimangonga ongala.

Milanzi amesema kuwa lengo kubwa la kumleta kally Ongala ni kuinusuru timu ambao ipo hati hati ya kushuka daraja. Kally ongala amesaini mkataba wa miezi 6 ambapo ataanza kukionoa rasmi kikosi hicho siku ya Jumanne. kally ongala amewahi pia kuchezea timu ya GIF Sundvall fc(Sweden), Yanga sc, Sinza fc na Bomu fc(zote za Tanzania). Timu nyingine alizocheza Kally Ongala ni Vasby united, Kajumulo fc na Seattle saints
Kwa upande wa Mshahara na posho za kocha, milanzi amesema kuwa ni wadhamini wa Symbion ndio watahusika na kumlipa kocha malipo yake. Ongala kwa sasa atashirikiana na Hassan Banyai kama kocha Msaidizi.

About Author

Advertisement

Post a Comment

 
Top