Kalaghe Secondary School Kalaghe Secondary School Author
Title: HAJIB ATWAA TUZO YA MCHEZAJI BORA DISEMBA
Author: Kalaghe Secondary School
Rating 5 of 5 Des:
Mchezaji wa Simba Ibrahim Ajib ametwaa tuzo ya mchezaji bora wa timu hiyo kwa mwezi Disemba baada ya kuwazidi mastaa wenzake kwa kupata ku...
Mchezaji wa Simba Ibrahim Ajib ametwaa tuzo ya mchezaji bora wa timu hiyo kwa mwezi Disemba baada ya kuwazidi mastaa wenzake kwa kupata kura nyingi zaidi.
Hajib amejinyakulia kitita cha sh 500,000 inayotolewa na uongozi wa timu hiyo kama motisha kwa wachezaji wanaofanya vizuri.

About Author

Advertisement

Post a Comment

 
Top