SDF SPORTS SDF SPORTS Author
Title: YANGA YATETEA UBINGWA WAKE MARA TATU MFULULIZO
Author: SDF SPORTS
Rating 5 of 5 Des:
Mabingwaa watetezi wa ligi kuu soka Tanzania bara Yanga Afrika wamejihakikishia tena nafasi ya ubingwa kwa mara ya tatu mfululizo kwa ushi...
Mabingwaa watetezi wa ligi kuu soka Tanzania bara Yanga Afrika wamejihakikishia tena nafasi ya ubingwa kwa mara ya tatu mfululizo kwa ushindi wa bao 1-0.

Goli pekee la mchezo huo lilifungwa na Amis Tambwe katika ya 81 baada ya kuunganisha krosi ya Juma Abdul.

Toto Africa walioneka kuwadhibiti Yanga mpaka pale AmisTambwe alvowainua mashabiki wa Yanga.

Yanga anajihakikishia Ubingwa wa ligi kuu kwa mara ya tatu mfululizo.

About Author

Advertisement

Post a Comment

 
Top