Jumla ya mechi nane zilipigwa viwanja tofauti nchini na mechi zote zilianza mda mmoja
Simba wakicheza katika Uwanja wa Taifa waliibuka na ushindi wa bao 2-1 magoli ya Simba yakifungwa na Shiza Kichuya kwa penati na Ibrahim Ajib
Matokeo mengine ya Lig kuu.
Mbao FC 1-0 Young Africans
Simba SC 2-1 Mwadui FC
Azam FC 0-1 Kagera Sugar
Mtibwa Sugar 3-1 Toto Africans
Majimaji FC 2-1 Mbeya City
Stand United 2-1 Ruvu Shooting
Ndanda FC 2-0 Jkt Ruvu
Tanzania Prisons 0-0 African Lyon
Post a Comment