SDF SPORTS SDF SPORTS Author
Title: SIMBA KUENDELEZA USHINDI LEO YAIKARIBISHA MBAO UHURU
Author: SDF SPORTS
Rating 5 of 5 Des:
Ligi Kuu ya Soka ya Tanzania Bara 'Vodacom' (VPL) inaendelea leo Alhamisi kwa mchezo mmoja kupigwa kwenye uwanja wa Uhuru Dar es ...
Ligi Kuu ya Soka ya Tanzania Bara 'Vodacom' (VPL) inaendelea leo Alhamisi kwa mchezo mmoja kupigwa kwenye uwanja wa Uhuru Dar es salaam.

Timu ya soka ya Simba ambao ndio vinara wa ligi hiyo itakuwa mwenyeji wa Mbao FC ya Mwanza katika mchezo utakaopigwa jioni ya leo. Mpaka sasa Simba ina pointi 23 huku Mbao wakiwa na pointi 12.

Akizungumza na blog hii Meneja Mkuu wa Simba Mussa Hassan amesema vijana wao wako katika ari nzuri ya ushindi na wamejipanga kuibuka na ushindi na kuhakikisha wanapata point tatu muhimu ili kujieka katika mazingira mazuri ya ubingwa.

About Author

Advertisement

Post a Comment

  1. Wamekuja wakati mbaya sana hawa Mbao, hakuna namna lazima wachapike tu...

    ReplyDelete

 
Top