Ligi Kuu ya Soka ya Tanzania Bara 'Vodacom' (VPL) inaendelea leo Jumatano Oktoba 12, 2016 kwa michezo sita kupigwa kwenye viwanja tofauti nchini.
Wekundu wa Msimbazi Simba watakuwa katika dimba la Uwanja wa Sokoine wakiwa wageni wa Mbeya City.
Simba ndio wanaoongoza ligi hiyo kwa kuwa na pointi 17.
Mechi zingine za Ligi Kuu Tanzania Bara leo
Mbeya City vs Simba
Stand United vs Azam
Jkt Ruvu vs Prisons
Majimaji Vs Kagera
Yanga vs Mtibwa
Mbao Fc vs Toto Africa
Mwadui vs African Lyon
About Author
The part time Blogger love to blog on various categories like Web Development, SEO Guide, Tips and Tricks, Android Stuff, etc including Linux Hacking Tricks and tips. A Blogger Template Designer; designed many popular themes.
Advertisement
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Post a Comment