Timu ya Argentina wako hatarini kukosa kufuzu kwa Kombe la Dunia kwa mara
ya kwanza tangu 1970 baada ya kutoka sare na Peru ya bila kufungana
Amerika Kusini inapeleka timu nne katika michuano hiyo
itakayofanyika Urusi mwaka 2018.
Argentina itawalazimu
kushinda mchezo wa mwisho dhidi ya Ecuador ili wapate nafasi ya kucheza michezo
ya kufuzu



Post a Comment