SDF SPORTS SDF SPORTS Author
Title: SIMBA AAMBULIA SARE CHAMANZI
Author: SDF SPORTS
Rating 5 of 5 Des:
Ligi kuu soka Tanzania bara baina ya Simba na wenyeji Azam FC limeisha kwa sare ya bila kufungana katika mchezo mkali uliopigwa kwenye uw...
Ligi kuu soka Tanzania bara baina ya Simba na wenyeji Azam FC limeisha kwa sare ya bila kufungana katika mchezo mkali uliopigwa kwenye uwanja wa Azam Complex Chamazi jijini Dar es Salaam.

Simba imeshindwa kutamba katika uwanja wa chamanzi baada ya Azam kuwadhibiti vyema washambuliaji wa Simba
Simba inaendelea kuongoza ligi hiyo ikiwa na pointi 4 Azam wakiwa nafasi ya 3 na pointi 4


Mchezo mwingine wa ligi ulikuwa ni kati ya Tanzania Prisons ikiwa nyumbani ilikubali kwenda sare na Maji maji ya Songea wakifungana bao 2-2

About Author

Advertisement

Post a Comment

 
Top