SDF SPORTS SDF SPORTS Author
Title: GONZALO HIGUAN AINGARISHA JUVE UGENINI
Author: SDF SPORTS
Rating 5 of 5 Des:
Vibibi vizee vya turin Juventus ya Italia imecheza ugenini usiku wa kuamkia leo dhidi ya FC Monaco katika mchezo wa kwanza wa nusu fainali ...
Vibibi vizee vya turin Juventus ya Italia imecheza ugenini usiku wa kuamkia leo dhidi ya FC Monaco katika mchezo wa kwanza wa nusu fainali michuano ya Klabu bingwa ulaya na kuchomoza na ushindi wa mabao 2-0 .
Mabao ya ushindi ya Juventus yalifungwa na Mchezaji Gonzalo Higuain katika dakika ya 29 kipindi cha kwanza na bao la pili Dakika ya 59 kipindi cha pili.

Timu hizo zitarejeana tena mnamo mei 9 mwaka huu.

About Author

Advertisement

Post a Comment

 
Top