SDF SPORTS SDF SPORTS Author
Title: LIGI KUU TANZANIA BARA:SIMBA NA RUVU SHOOTING KUFUNGUA RASMI UWANJA WA UHURU LEO
Author: SDF SPORTS
Rating 5 of 5 Des:
Raundi ya tatu ya Ligi Kuu ya Vodacom Tanzania Bara inaendelea leo kwa michezo mitatu kupigwa katika viwanja tofauti nchini.  Mnyama S...
Raundi ya tatu ya Ligi Kuu ya Vodacom Tanzania Bara inaendelea leo kwa michezo mitatu kupigwa katika viwanja tofauti nchini. 

Mnyama Simba Sports club atashuka kwenye uwanja wa Uhuru baada ya kuwa kwenye matengenezo kwa muda mrefu Simba na Ruvu shooting watafungua uwanja huo katika mchezo wa LIgi kuu vodacom Tanzania bara utakaoanza saa 10:30jioni.

Mechi nyingine za ligi kuu leo Young Africans watakaribishwa na Ndanda FC ya Mtwara kwenye Uwanja wa Nangwanda Sijaona.
Azam imesaafiri hadi Mbeya kucheza na Tanzania Prisons ya Mbeya kwenye Uwanja wa Sokoine.

About Author

Advertisement

Post a Comment

 
Top