SDF SPORTS SDF SPORTS Author
Title: LIGI KUU TANZANIA BARA: TUMEKUEKEA HAPA RATIBA YOTE YA LEO
Author: SDF SPORTS
Rating 5 of 5 Des:
Ligi Kuu ya Vodacom Tanzania Bara (VPL) msimu wa 2016/2017 inaendelea tena leo Jumamosi Septemba 17, 2016 kwa michezo sita kupigwa katika...
Ligi Kuu ya Vodacom Tanzania Bara (VPL) msimu wa 2016/2017 inaendelea tena leo Jumamosi Septemba 17, 2016 kwa michezo sita kupigwa katika viwanja tofauti nchini.
Mnyama Simba atakuwa katika Uwanja wa Uhuru jijini Dar es salaam akikipiga na Azam fc, Simba na Azam zina pointi 10 kila moja baada ya kucheza mechi nne ambako kila moja imeshinda mechi tatu na kutoka sare moja.
Mechi nyingine yenye mvuto ni kati ya Tanzania Prisons kuwa mgeni wa Mbeya City kwenye Uwanja wa Sokoine mjini Mbeya.

Tumekuekea hapa ratiba yote ya Ligi kuu Tanzania bara leo
 Simba Vs Azam
Mtibwa Sugar Vs Kagera Sugar
Mbeya City Vs Tanzania Prisons
Mwadui FC Vs Young Africans


NB: Mechi zote kupigwa saa 10:00 jioni

About Author

Advertisement

Post a Comment

 
Top